1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages

 
 
 

 

Matukio muhimu | 08.01.2009

Mzozo wa Gaza-Mashirika ya misaada yajiondoa.

Wanajeshi wa Israel katika eneo la Gaza.

Mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu katika eneo la Gaza yasimamisha mara moja shughuli zao kwa kutokana na kuendelea kuzorota kwa usalama katika eneo hilo na kuhofia usalama wao. »

 

Habari

Shirika la Umoja wa Mataifa linalotoa misaada Gaza lasitisha huduma hiyo.

GAZA:

Jumla ya watu 11 wameuawa katika mashambulio mapya yaliyofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.

Msemaji wa Shirika la Umoja ... »

More news

Matukio ya Kisiasa | 08.01.2009

Mzozo wa gesi barani Ulaya

Mawaziri wakuu   wa  Urusi,Putin  na wa  Ukraine Tymoshenko.

Urusi imesema ipo tayari kuanza tena kupeleka gesi barani Ulaya. »

 

Matukio ya Kisiasa | 08.01.2009

Juhudi za kidiplomasia zashika kasi

Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy akizungumza na kiongozi mwenzake wa Misri,Mohammed Hosni Mubarak  mjini Cairo

Makundi manane ya wapalastina yanapinga mpango wa amani ulioshauriwa na Misri na Ufaransa »

 

Matukio ya Kisiasa | 08.01.2009

Waziri wa Ushirikiano na Maendeleo ya Kimataifa wa Uingereza ziarani Rwanda

Uingereza imesema Rwanda na nchi nyingine katika kanda zina jukumu kubwa kuhakikisha kuwa amani inapatikana mashariki mwa jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. »

 

Matukio muhimu | 08.01.2009

Israel yafanya mashambulizi dhidi ya Lebanon

Israel yafanya mashambulizi ndani ya Lebanon.

Kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa vita vya Gaza, mashambulizi ya mizinga ya kutoka ardhi ya Lebanon yameripotiwa kushambulia maeneo ya Kaskazini mwa Israel. »

 


 
Picture of the Day
ImageOfTheDay

DW-TV EUROPE live

People and Politics - The Political Magazine