Matukio muhimu | 09.01.2009
Vita Gaza- Israel yakataa azimio la Umoja wa mataifa

Bazara la mawaziri nchini Israel limekubaliana kuendeleza mashambulizi dhidi ya Hamas licha ya azimio lililopitishwa na Umoja wa mataifa kuitaka nchi hiyo ikomeshe vita katika eneo la Mashariki ya kati »Mehr zu: title"
Habari
Israel yalikataa azimio la UN
JERUSALEM
Waziri Mkuu wa Israel Ehud, Olmert, amelikataa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kuitaka isitishe operesheni zake ...
»Mehr zu: title"More news
Matukio ya Kisiasa | 09.01.2009
Je Umoja wa Mataifa una nguvu kiasi gani Mashariki ya Kati?

Azimio jipya la Umoja wa Mataifa halitaleta mabadiliko yoyote »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 09.01.2009
Urusi yatanua misuli yake katika mzozo wa gesi na Ukraine
Nani atakayekuwa mshindi katika mvutano huu? »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 09.01.2009
MZOZO WA GESI: Umoja wa ulaya wadai kuzipatanisha Urusi na Ukraine.

Mataifa ya ulaya ambayo yameathiriwa na mzozo wa gesi kati ya Urusi na Ukraine yanataraji kuwa hali itarejea kuwa ya kawaida baada ya umoja wa nchi hizo kudai umeweza kuzipatanisha pande zote mbili. »Mehr zu: title"
Matukio muhimu | 09.01.2009
Vita vya Gaza- Umoja wa Mataifa wapitisha azimio

Watu 12 wameuawa kufuatia mashambulizi makali ya wanajeshi wa Israel katika maeneo ya Gaza licha ya baraza la Usalama la Umoja wa mataifa kupitisha azimio la kusitishwa kwa vita katika eneo hilo la Mashariki ya Ka »Mehr zu: title"







