Masuala ya Jamii | 09.01.2009
Asilimia 25 ya Commerzbank ya Ujerumani ni mali ya serekali

Robo moja ya Commerzbank ya Ujerumani imetaifishwa »Mehr zu: title"
Masuala ya Jamii | 09.01.2009
Angola yafunga mpaka wake na DRC

Kutokana na kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na kusababisha vifo kadhaa, nchi jirani ya Angola imeamua kufunga mipaka yake, lengo likiwa kuzuia ugonjwa huo usiingie nchini humo. »Mehr zu: title"
Audios and videos on the topic
Masuala ya Jamii | 08.01.2009
Afrika kusini yawafukuza Wazimbabwe
Afrika Kusini imetakiwa kulegeza sheria zake kuhusu idadi ya wahamiaji kutoka Zimbabwe inayowaruhusu kuishi nchini humo. »Mehr zu: title"
Masuala ya Jamii | 07.01.2009
Kenya na Uganda kujenga njia ya reli

Kenya na Uganda zina mpango wa kujenga njia mpya ya reli kutoka katika bandari ya Mombasa kwa lengo la kukabiliana na ongezeko la biashara baina ya nchi za Afrika Mashariki na nchi jirani zisizo na bandari. »Mehr zu: title"
Podcasting & Feeds | 18.12.2008
RSS-Feeds Deutschkurse

Hier finden Sie eine Zusammenstellung aller RSS-Feeds der Redaktion Deutschkurse. »Mehr zu: title"







